Isaiah 30:11-12


11 aAcheni njia hii,
ondokeni katika mapito haya,
nanyi acheni kutukabili pamoja
na yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli!”

12 bKwa hiyo, hili ndilo asemalo yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli: “Kwa sababu mmekataa ujumbe huu,
mkategemea uonevu na kutumainia udanganyifu,
Copyright information for SwhKC